Wednesday, June 26, 2013

Hassan Assadunllah mmoja wa Burundian Movie Star Nchini Burundi

Kwenye uwanja wa Facebook nimefanikiwa kuongea na Kijana "Hassan Assadunllah" ajulikinae kwa jina la "MUGISHA", huu ni mmoja wa wasanii Nchini Burundi katika tasnia ya filamu.  Filamu aliyo icheza iitwae "MUGISHA" ilio sababisha kijana huu kujulikana Nchini na Nchi za inje, katika maongezi naye kijana huu alisema kua kwa sasa amecheza filamu 6; 3 kwa kirundi, 2 kwa kirafansa, 1 kwa kiswahili. 

Mugisha anasema kua bado yuko katika maendeleo ya filamu. 

Basi ndugu wadau tasnia ya filamu Nchini iko inasonga mbele kama mnavyo ona, nitaendelea kuwapa story hadhisi endapo mukiendelea kuitembelea blog hii. 

NIikajikuta kua napenda blog hii sana

Kwanza natangulia msamaha mkubwa sana kwa ndugu na wadau wote ambapo muko katika maeneo na mikowa mbalimbali. Nime wa miss sana. Katika kwenda kwangu, liniwaambia yakwamba nina blog mpya ambao ilikua www.kaburungu2013.blogspot.com ambapo ilikua kuwaakilisha kazi zangu za mwaka huu wa 2013, ila nimejikuta kua napenda sana blog hii. basi ndugu wadau nimerudia rasmi na twendelee na kazi. 

Kama wengi munavyo kua munafuatia kazi zangu kutumia viwanja vijine vya website, kweli kazi naendelea kama kawaida, na kampuni yangu  Afro Shemeza Stduios" imefanikisha kutengeneza video ya Methuselah mwezi wa pili mwaka huu wa 2013 (Febuary, 2013)