Tuesday, January 17, 2012



Basi ndugu wadau mzigo mwenyewe ni huu, nimesha kwisha kuwatengenezea Cover ya movie hii. si mchezo kama nilivyo waambia kua movie hii itakua next level (hatua mbele) kwani hata uonekano wake mwenyewe unatisha. tusubilini nini mwana dada huu (Sarah Lily) ambae ni kizazi kipya katika tasnia yetu ya filamu, nini atakionesha. wadau wengi hua wanauliza je atazidishia Irene Kasongo AKA ''Joanne'' In 21Days? Jibu sina wala Kijana wangu Johnson Mkubwa hana. Jibu ni kwamba siwezi msifia kabla mzigo hujawafikia kwani, ninyi ndo mnapendekeza yupi kafumua mbomba. Hata kijana huu namtakia kufanya zaidi katika mzigo huu.



siku chache nitawapa Trailer ya movie hii, endeleeni na kutembelea blog yangu na tena muishirikishe kwa ndugu na jamaa ili kazi iendelee mbele! ninyi ndo tumaini letu!


Wednesday, January 4, 2012

Kijana anaipeleka UGleawood Movies hapa malekani na Canada, Next level

Ndungu wadau kijana ''Johnson Mukubwa'' anakuja kwa hauta mbele! Muigizaji maarufu ambae anamuonekano wa kutikisa tasnia ya filamu hapa malekani na Canada ambae ni Johnson Mkubwa, nimeamua sasa kuhakikisha anatimiza ndoto yake.

Filamu ''Get Blessed to be Saved'' ni Next Level ya filamu hapa USA na Canada na zingine filamu mbali mbali za ki Africa. Huyu kijana kwa uonekano wake anapenda kuiendesha kazi nzuri sana ya filamu kuenyesha maendeleo zaidi nchini kwetu Burundi. Naye anaonekana ni muigiza maarufu nchini Burundi kwani anaterekeza kuifumua tasnia ya filamu hapa USA-CANADA (Burundian Movies) 

Filamu hii kama nilivyo sema ni Next level yani hatua mbele, nimehakikisha kila kitu kua kamili. Ndani ya movie mutapata mambo mapya ya kuwahakikishia kua movie hii ni Next Level,  yenyewe ni haya:

Best Quality  (Uonekano mkali wa hari ya Juu)\
Best Acting   (Uigizaji wa hari ya Juu)
Best Vision and Editory (Uhariri wa hari ya Juu)
Best Promotion   (Uandaji wa hari ya Juu)
Best Actors   (Waigizaji wa uonekano wa kutisha)

Mwenyewe The Superlative Kaburungu nimehakikisha hayo yote yanapatikana katika movie hii kama munavyo ona hata kwenye pica tu ya usambazaji kua bado inakalibia, wenyewe mnaona hari si kama ya zamani. Mwaka huu wa 2012 ni Mambo mbele, maendeleo kali! kwani kijana huu nimeamua kumuteuwa ili ndoto yake itimie. Mutafikiri kua nami Je nimecheza? Jibu sina ila nawahakikishia kua mimi hasasa na Promote hii filamu, si filamu tu hata kijana huu anapenda sana kuitumia kampuni yangu "Afro Shemeza Studios'' kutokana na kua ndio yenyewe ili muanzisha safari yake ya uigizaji kuanzia ''21Days". Basi kwakifupi ametoa shukurani sana kuona na Muunga mkono na kumusaidia bega kwa bega, hata nami namshukuru kwakuniamini kama naweza chukua hatua hiyo yakumusadia kunyesha uwezo wake.

Chakula Chenu mwaka huu, filamu inakaribia mda si mlefu! endelea kutembelea blog yangu siku chache utaona bonge la Surprise ya kava (cover) ya movie hii,....