Tuesday, December 27, 2011

Kazi naendelea na maendeleo zaidi

kwa kifupi ndugu wadau ni kwamba kweli muda kitambo sipatikani kwenye blog hii ila nikwasababub nilikua nimepatwa namajukumu furani na mengi hivi ya kuwaletea habari njema.


Ndugu wadau ni kwamba mimi wengi nasikia kua wananijua kama Director na nikweli mimi ni Director wala sitabadilika kamwe ila bado naendelea zaidi ya zaidi. Ivi sasa mtakua munanipata kwenye movie za ki Kristo kutangaza injili ya Mungu zaidi kutumia kuhubiri na mambo yama filamu kama munavyo jua wengi kua filamu ni moja kali ya ushauri. Mwaka huu wa 2012 nakuja kiupya tena zaidi ya zaidi kama vile Mungu alivyo agiza na ametimiza. Basi ndugu wadau tuendeshe kazi ya Mungu mbele kwa kukumbuka tulipo anguka na tumurudilie bwana. unaweza kufikiri kua nimeokolea kwa sasa, sikusema ivo ila nikwamba tangu mwanzoni nilikua mkristo ila nilikua na kimbia sana na maisha ya dunia angalau nipate maendeleo ila nigunduwa ni wapi mafanikio anapatikana, ni kwa Mungu kabisa na kwa hivi naendelea sana kwa bidii...


Mwaka wa 2012, Kijana wangu ''Johnson Mkubwa'' anakuja na filamu inaitwa ''Get saved to be Blessed'' chakula ni chenu nitawaeleza ni lini itaondolea maana movie hiyo itafanyiwa kazi (uhariri) na kampuni yangu (Afro Shemeza Studios/Store). kuweni hewani na kutembelea sana blog yangu bila kusahau kampuni yangu ingine ambao inatangaza filamu hizo ''Ugleawood Entertainment''(ugleaworld.ning.com)


Kwa zaidi mwaka huu wa 2012, mutakua munanisikia sana kwa mahubiri ya Mungu na kwa kifupi tuna mkutano wa Vijana July 7-8, 2012 in Dallas, TX  unakaribishwa ndungu mdau kwa kupata balaka kutoka kwa Mungu maana Mungu ameyaanda mengi kwa watu wake! Mengi zaidi mutayajua kwa kufuatia blog yangu na nitapenda sana maoni yenu kwa ku comments hasasa kwenye Ugleaworld.ning.com ili tuendeze kazi mbele!


Karibuni kwa ''The Superlative Kaburungu'' kizazi kipya na ''Maendeleo kali''