Tuesday, March 15, 2011

Movie yenyewe ni hiyo


Hii ni front cover ya 21Days movie. wadau na mashabiki naweza tangulia shukurani kwa Mungu, naimani filamu itawafurahisha japo kuna mabadiliko kidogo yametokea. katika shooting, kikosi cha B-Squad kutoka New York walitutembelea kwa kusaidiana na ku support. Filamu imeshafika ndani ya Afro Shemeza Studios kwa uhariri muda sio mlefu mzigo unaondelewa. basi kaeni makini mujitayarishe mezani kwani chakula kinakaribia kuwafikia na mutaniambia wenyewe. 

Johnson Mukubwa kwa mala ya kwanza yeye kucheza filamu, anasema hakutegemea angefanya alivyo onyesha katika filamu hiyo. Mwana dada Irene Kasongo (in cover), naye kafumua zake na kuwapa burudani ya kweli bila utani. 

Friday, March 11, 2011

21Days inavuma ngoma

Wadau 21Days inakaribia kuingia studio kwa uhariri, The Superlative nikawa naitendea haki. apa nikawa na shoot moja scene katika filamu hii.

Uyu ni mama Kamikazi katika moja ya scene in movie, akawa anapata maelezo ya kufanya. Mama huyu ameonyesha uwezo yani apa atawapa burudani. sipendi nimusifii kwa sasa ngojeeni mzigo utoke mutaniambia.

Mwana dada  Yvonne Ndayisenga ''Shenaiza'' ameingia katika tasnia ya UGLEAWOOD Movies, hapa akiwa tayari ku shoot movie. subirini awape zake huo mwana dada. 

Wadau huu ni Johnson Mukubwa anasema kua anaenda kua bega na mimi mpaka anawaonyesha uwezo wake, yani kwanzia leo ni swahiba wangu. ndipo akapenda ni mupe nafasi ya kuonyesha uwezo wake yani apo ametoka Canada mpaka USA. wadau nimependa uigizaji wake hadi mwenyewe sikutegemea kua angefanya nilio yaona. kueni hewani mzigo unakaribia kuondolewa. 


Wednesday, March 9, 2011

Ndugu wadau nakaribia kuapa mzigo wenu, mimi hapa nikiwa katika maandalizi

Wadau na wapendwa wote kama nilivyo wa aidi kama nitakua nawa blog na kuaeleza kazi zangu, basi huu ni mimi mwenyewe The Superlative nikiwa Boston, MA ndani ya Mall apo mchezaji wangu mpya Nyandwi zebedayo ''Robot'' akawa amenipeleka mitaa mbali mbali kwa maongezi zaidi ya filamu. Kijana huu anachekesha, kwa maongezi yake utakutwa umesha sahau na kile ulicho kipanga kufanya na amenihakikishia kua anaenda kuonyesha uwezo wake hasasa baada ya filamu hii.  

Apa ni mimi na mchezaji mpya Nyandwi Zebedayo ''Robot'' (left-kushoto) yani baada ya maongezi tukaon vizuri twelekee nyumbani ndipo sasa kidogo tukachukua ma pozi. 

Ndugu wadau mzigo huu unaenda kuwapa burudani na sipendi nijisifie ao nisifie filamu kabla hijaondelewa, wenyewe mtaniambia mzigo ukisha kua mitaani. kaeni kwamakini nitawapa Surprise week hii.