Monday, March 12, 2012

Bukuru Celestin Amekuja na 1st Album ''Urugendo''


Huu ni Kijana ''Bukuru Celestin'' ambae ni muimbaji wa nyimbo za Injiri. mwaka huu wa 2012 amekuja na album yake ya kwanza inaendakwa jina ''Urugendo'' CDs. katika album hiyo kuna nyimbo kwa luga tofauti zikiwemo Kirundi na Kiswahili. 

Basi ndugu wadau Kijana akapenda ni mtengenezee cover na akapenda kutumia kampuni yangu kwa Duplication. Sauti zimekodiwa katika kampuni tofauti uko anako ishi Roanoke, VA. Ila cover na duplication copies By Seth V. Arts (Afro Shemeza Studios in Association with Victory Studios -www.victorystudios.com).

Natoa shukrani kubwa kwa Kijana huu ambae amemukaribisha Mungu katika maisha yake ili aweze mtumia kwa vipaji mbalimbali alivyo mpa. Ninatoa shukrani pia kwake kwa kueza kuaniamini ili atumie uwezo wangu wakumsaidia katika album yake ya kwanza. kama mnavyo jua, kila kava yote itakao andikiwa ''Seth V. Arts, Afro Shemeza Studios'' mwenyewe The Superlative Kaburungu nimetengeneza. Unaweza kusoma mengi kwa kubonyeza kwenye page ya ''Service'' Ila kwa kazi nyingi mtakua mnaona ''CAG Entertainment, or CAG Pro''

Album imesha ondolewa pateni nakala zenu harisi (original) na si fake. Tujenge uchumi wa Nchi na tuiendeshe kazi ya Mungu mbele.