Monday, March 5, 2012

Johnson Mkubwa pamjona na Radio Rema Fm Burundi Cinema!


Ndugu zangu na wadauu, kijana wangu Johnson Mkubwa apa akiwa anaongea na Mtangazaji wa Radio Rema FM Burundi Cinema Nchini Burundi. 

Jamani ndoto ya Kijana imesha timia. Nimefurahi sana kwa sababu nilikua napenda nihakikishe ndoto yake kama vile vilivyo kuwa nasema na kabisa ametimiza ndoto yake! Ivi sasa Kijana anajulikana kwa Jina "Johnson Mkubwa The Super Star'' Nchini Burundi kwote Kijana huu wanamujua kama J. Mkubwa The Super Star, na kama mlivyo sikia ndani ya maongezi, amesema kua anatarajia pia kwenda Nchini Burundi kucheza filamu na wasanii wa burundi. 

Basi ndugu wa dau maendeleo ni haya, na kama unataka kwendesha mbele kazi yako, mwenyewe the Superlative Kaburungu naweka wote kua wa Super Actors and Stars. Tusaidiane kwendesha kazi mbele na tuendesha Nchi yetu kwa maendeleo kali! Johnson Mkubwa anakuja kwa hali ya juu kuiendesha mbele Nchi yetu Burundi kwa tasnia ya filamu! 

Na Mshukuru Mungu kwa kunipa vipaji mbali mbali na kuweza kuwasaidia wengine wakatimize ndoto zao. Natena Namshukuru Mungu amemuezesha J. Mkubwa kwakufikisha ndoto yake na namtakia kila la heri Mungu amuwezeshe pia kwa mengine zaidi ambae anatarajia kufanya! 

Hongela J. Mkubwa The Super Star