Thursday, April 12, 2012

CAG Voice Entertainment Inaanza kazi rasmi

Ndugu zangu wadau kama livyo waeleza siku zilizo pita kua UGLEAWOOD Entertainment nimeigeuza kua CAG Voice Entertainment. Maana twaenda kuaburudisha na kazi za Mungu na kampuni hiyo inakuja kwa ukali harisi, tembelea http://www.cagvoice.webs.com/ utajionea mwenyewe kazi kubwa.

Na katika kampuni yangu Afro Shemeza Studios nimemushirikisha Swahiba wangu wakaribu sana ambae anajulikana kwa Jina ''Didas Nivyayo'' Naye ni moja kati ya viongizi wa CAG Ministry ''Men Ministry Director'' yani Mkuu wa wanaume katika Ministry zetu. Pia Afro Shemeza twaenda kuapa burudani kali sana katika uandaji wa nyimbo za Injiri na mambo mengineo. Kama kuna kazi unataka kutengeneza twelezee hapa ndani ya Afro Shemeza Studios tutakufanyia kazi isiyo kifani.

Mengi nitawarushiya badaye, endeleeni kutembelea blog yangu nitakua nawataarifu jinsi kazi zinazo endelea yani hata mwenyewe ukitufuatiya utaona kweli sisi warundi hapa USA kupitia CAG Ministry tumebalikiwa.

Tangu nianzishe Ministry ya CAG kweli mabadiliko yalitokea mala kwa mala, Mungu alisikia kilio chetu na anatubaliki usiku na Mchana yani, tuko naye bega kwa bega. Hatuna hofu yeyote ile maana Mungu yupamoja nasi. Njoo hata mwenyewe ujiunge na CAG Ministry (http://www.cagministry.com/) usikilize utamu ulomwo ndani ya Yesu. Jamani sisi wenzenu tunaburudika sana ndani ya Yesu na chakula kipo tena chakutosha, Maana Mungu anawangoja wote tushirikiane kwa umoja. 

Toa maoni (comments) yako ili kazi iendelee kwa usalama. tembeleeni siku zote nitawapa kile chote kinacho tokea ao nacho tarajia kualetea cha kujenga jamii yetu!

Monday, April 9, 2012

Hahahahah Eti The Superlative Kaburungu ni Mchezaji!

Ndugu wadau huu ulikuwa mwaka wa 2010 ambapo nilikua bado naishi Seattle, WA. Warundi wenzetu warikua wali amua kufanya Kundi la kucheza Soccer, ivo sasa nami nikaona nijiunge nikafanye mazowezi. Namba yangu ambao napenda kuchezea ni 7. Usipo kua golikipa wa hatari lazima niingize bao. Si kufanya Business tu bila mazoezi Jamani. Jenga mwili wako ao sio? Cha kushangaza kwa sasa sina hamu ya kucheza Soccer maana Mungu kasha nichukua kua wake tena naifurahia sana maana kile chote chenye kumelemeta ninacho kwa ajili ya Mungu. Njoo Tumtumikie bwana mapema kabla jua halijajificha.

Mapozi mbali mbali baada ya mazoezi!  

Hawaii mahali pazuri naipenda Sana ''My Home Town''

Apa ni mahali karibu na bahari, iyi inaitwa ''Green Sea Turtle'' Jamani Turtle hizi ni kubwa sana kabisa zina nyama ya kutosha. Wale wanao penda kula nyama kama hizi, karibuni niwahudumu.

Hapa ni mpwa (Niece) wangu pamoja na The Superlative Kaburungu ''Me''. ilikua BirthDay yake akifikisha mwaka mmoja. Maana kananipenda sana yani hata nami nakafurahia sana ndo nikaone ni vyema nikasherehe chama chake cha Birthday party na ilikua May, 2011.

Mchoko tu wakuoegelea katika bahari zenye kufanana kama Africa. Jamani Ni Burudani ya aina yake kipekee. Hata ukependa za professional za ku enjoy life, Jamani tunakwenda Honolulu, tunapata huduma yakutosha.

Wednesday, April 4, 2012

Safari yangu yakwanza kuingia Hawaii mwaka 2011

Ndugu wadau apa basi mwaka wa 2011 nilikua natembelea Hawaii kwa upande upo kama vijiji vyetu vya Africa. Apa basi nilikua naburudika na Muwa maana siku myaka mingi sili muwa.  Karibu tule Basi!!

Apo basi Huduma ya miwa ikiendelea

Mpwa (Niece) wangu naye kaja kushiriki nami katika huduma hiyo


Baadaye tulienda kuogelea katika Beach moja moja kabisa inachekesha kidogo maana nikama vile africa. Dada yangu alikua ananiambia kua ipo nika mpinza basi akanipeleka ndo hiyo basi ndugu wadau maana ndani ya Hawaii kuna Burudani ya akila aina ambaye mwenyewe utafurahia

Naimani hata Dada yangu anapenda kua Kamera man kama kaka yake. Haya ndo Ameanza!!!! Lol