Wednesday, November 28, 2012

Kama kawaida yangu, Afro Shemeza niko naipamba moto!

VIZIO Computer -One In all-

Ndugu wadau kama nilivyo sema yakwamba naenda kuanza kununua vifaa vipya, kama hii Computer mpya nimenunua. Wengi hua wananunua Mack, Apple Computers, ila mimi najaribu kuwa mttu wa aina yake mwenyewe (Unique). Hii Computer kweri ni ya aina yake, na kuhusu uhariri wa video kweri nimeipima ina nguvu na program yote ile nataka naweza tuitia tena siku si nyingi nitawapa nyimbo ninazo zitengeneza. Mukiendelea kutembelea www.burundiangospel.com mutakua munaona video za waimbaji wengi mbalimbali ambazo Afro Shemeza imetengeneza. Nataka kuaeleza yakwamba kaka yangu "Manirakiza Silas" yeye amechagua kuisimamia Afro Shemeza, kama vile munajua kwasasa nina makampuni ma 3 (Afro Shemeza Studios/Stores, Burundian Gospel Entertainment, Quality Life Solution, Inc.) QLS, Inc ndo inaongoza ao itakae ongoza kila kampuni yote ile itakao kuja nyuma, bado sijaianzisha vizuri kazi na matumizi ila siku si nyingi nitaweka wazi kazi ya kampuni hiyo. 

Apa ni ofsini mwangu. Iyo Kubwa ni ile VIZIO Computer mpya, na kama munavyo ona ninazo laptop mbili "HP Laptop & Mack Book Laptop" Kazi si mchezo! Ivyo vyote navitumia kuhakikisha uhariri wa video unakwenda sawa. Mda karibuni naenda kununua vifaa vingine. Napenda nipe Shukrani kaka yangu na mkewe "Silas & Zabibu" kwa usaidizi wao wanao fanya kabisa mkubwa ili waweze kununua vifaa hivi! 

Endeleeni kunitembelea nitakua nawaonyesha vifaa vipya. Karibu kwa kampuni yenu ambao mna amini "Afro Shemeza Studios"