Wednesday, October 24, 2012

Maendeleo ya Nchi "Burundi" Je tunayachukuliaje? Hasasa Kikristo

Picture from Burundi YFC visit www.burundiyfc.org

Ndugu wadau ilifika wakati nachukua kwenye Internet nikiwa natafuta angalao nione maendeleo ya Nchi yetu BURUNDI hasasa kikristo. Ikiwa sisi niwa Kristo nilazima katika hatua zetu za safari twende kama wakristo tusiende kama wa ulimwengu, maana hata biblia inasema yakwamba tumefufuka pamoja na Yesu, lazima tutazamie ya Mbingu na tuache yadunia maana tumekufa kwa dhambi na tamaa zote za ulimwengu; lakini nashangaa sana na wakristo wa leo, ukiwatazama kabisa, hakuna utofauti wa mkristo na mwenye dhambi ao waulimwengu, wote ni sawasawa tu. Na katika maendeleo Dunia nzima, kumejaa maendeleo ya kihuni maana yangu kusema kihuni tunakimbilia ya dunia, yani hakuna maendeleo kikristo ila kuna maendeleo kidunia. 

Mala nyingi hua swala hili napo litekereza linanigusa moyoni, Wenzetu warundi tumelala, nataka kuongelea hasasa warundi tuliopo apa malekani maana tuna fursa nzuri sana ya kuendesha kazi ya Mungu mbele na kukomboa Nchi yetu ya Burundi lakini wengi tumekimbilia ya dunia eti ndipo kuna maendeleo. Unajua tunapo endelesha mbele mambo ya dunia ndo kuleta upungufu wa nguvu za Mungu katika Nchi zetu, na endapo Mungu anatoa mkono wake juu yetu, hayo maendeleo unayo jivunia mwenzangu yatabaki bure, ujuwe yakwamba umesimamiya kiti cha Mungu, endapo anatoa bila shaka utaanguka tena kigafra. 

Mimi kama The Superlative, nisinge penda niitwe jina hilo bila matendo ao kitu cha kuonyesha wenzangu na wadau yakwamba ni jina hilo, na ukumbuke yakwamba mimi the Superlative bila wewe, jina hilo halina uthamani; lakini tukiambatana jina langu na lako likua na uthamani katika jamii yetu. Nilichunguza kabisa ilimladi niangalie yakwamba kuna ma website ya kikristo ila jamani, nijiona aibu kabisa! Si kusema yakwamba ndo kujua ila nilizani labda watu watakua wamegeuka, ila mambo ni yale yale. na ma webisite nimefanikiwa kuona ya kikristo ni haya (ambao yametengenezwa na warundi wako apa USA) www.sfelchoir.com, www.mapambanovijana.com, www.rbfchurch.com, www.cagvoice.webs.com  naya mwisho ni hii blog yangu, www.kaburungunews.blogspot.com; kama kuna zingine website za warundi wako apa USA ambao unajua unaweza niambia labdazipo, ila kwa binafsi nimefanikiwa kupata hizo. Mengineo mengi ya dunia, tuseme ya kisani, na ukiangalia ndo yanajulikana kushinda yetu sisi wakristo. hilo jambo linaniumiza sana, wakristo naomba tuwe na umoja tuwaonyeshe wadunia yakwamba uzima tele na raha vimo ndani ya Yesu, tuungane mkono tuonyeshe Vijana wenzetu yakwamba Uzima ndani ya Yesu ni raha tupu. Lakini chuki na upuuzi ndo vina tawala kati yetu sisi nawakati tuna jiita niwakristo. 

Na katika swala hilo, madau na mashabiki wangu wengi ni watanzania na wa congomani ndo maana natumia kiswahili katika blog yangu hii, hili jambo linaniumiza sana, ni aibu kua ma mashaniki wengi wa Nchi za Nje nawakati wapo wengi Nchini kwenu ila hakuna hata mmoja wa kusaidiana. Sasa warundi, tukitazama safari yetu kabisa, twaelekea wapi? maana hata wao watanzania nimekuta wanazo blog nyingi sana zinazo shiriki ukristo, na hata katika Nchini kwao wana ma radio mengi sana ya Kikristo , lakini sijawahi kusikia ivo katika Nchini kwetu, kama zipo tafadhari nitumie link hizo, utakua umenifurahisha na utakua umesaidia wengi ambao hakufahamu ivo.  

Ombi langu nikwamba: kama yeyote yule mrundi, haijalishi unaishi Nchi gani, kama una uryuzi  wa kutengeneza ma website ao blog, tafadhari kama wewe ni mkristo tengeneza blog ao website ya kikristo na tuindeshe Injili ya Yesu Mbele, wengi wataokoka wengi watamurudilia bwana kutokana na Uryuzi wako. Kama huna fursa hiyo ao unaitaji kua jinsi ya kutengeneza, na kukaribisha uongee nami kupitia contacts zangu tutaelekezana. napenda pia kuahisi tutembelee webiste hii www.burundifyc.org kama unazo support tafadhari support Nchi Yetu iendelee mbele. 


Burundi FYC www.burundifyc.org "You can change lives today by Christianity


Amani ya Bwana awe nanyi siku zote
The Superlative Kaburungu 

Monday, October 22, 2012

Muimbaji wa Nyimbo za Injili "Bukuru Celestin" Kuendelesha mziki wa Yesu Mbele

Picture Taken from Concert during the perfomance


Muimbaji maarufu katika tasnia ya Burundian Gospel Music apa USA "Bukuru Celestin, katika maongezi yangu na yeye Kijana (C. Bukuru), ananieleza yakwamba katika jiji (City) anako ishi Roanoke, VA hua wanafanya ma show na ma Concert, Kijana naye ameipata fursa kubwa sana ya kushiriki katika Concerts hizo. Kama munavyo ona kwenye picha, hapo walikua wakiimba katika moja ya hizo Concert zinazofanyika katika jiji la Roanoke. 

Kijana "Bukuru Celestin" anayo ndoto ya kufanya Band kubwa ambapo atakuwa anafanya utendaji pamoja na Band yake. Kwa maongezi yake, aliniambia yakwamba hata sasa Band amesha ianzisha ivi sasa wapo wanao msaidia kuimba ijapokua anatafuta wapiga vinanda, guitar na ufundi wingi tofauti katika swala la mziki. Katika Band hiyo amewashirikisha dada zake; Furaha, Elvanie, na dada mwingine anaitwa Abia na Kijana mwingine ambae alikua CAG Voice Entertainment Journalist "Jonathan Nyandwi", pia pengine hua anatumia wadada zake wengine kama "Toyi Zawadi, Furaha Chantal" Na hawo ndo alikuja nao katika Mkutano wa CAG Ministry ulio fanyika Jiji la Dallas, Texas mwaka huu wa 2012 mwezi wa 7 tarehe 7 na 8. Kijana alifanya utendaji (performance) mkubwa katika mkutano huo, na katika utendaji huo alimushirikisha tena "Olive Ndayisenga"  ambae ni member wa CAG Ministry kutoka Houston, TX.  Pia Kijana C. Bukuru alikua amekuja na CDs za Album yake ya kwanza "Urugendo"; wengi walifurahia mkanda huo kwa ujumbe uliomwo. 

Ukienda kwenye Facebook yake "Bukuru Celestin" unaweza kuona picha nyingi mbalimbali akiwa anafanya utendaji katika Concerts hizo! Kibinafsi namshukuru sana Kijana huu kwa kweza kumupa nafasi Mungu ali aweze kuindelesha Injili ya Yesu mbele, na katika performances anazo zifanya, yanipa matumaini yakwamba taifa letu la Warundi siku sijazo tutapata maendeleo. Nikweli vijapi tunavyo lakini tunakosa fursa, na pengine sijui yakwamba tunangoja fursa zitutafute ao sisi kuzitafuta! 

Katika Picha kuanzia kushoto ni: Bukuru Celestin, Elvanie, Abia, Furaha, Jonathan Nyandwi. katika mtimbo munawaona wenyewe wazungu wakiwa wanafanya makamuzi katika nyimbo za kiafrika, tena kijana anasema kama katika ma Concerts mengi wazungu wanamusingizia ili waweze kucheza nyimbo zake, naye hana kabisa kipingamizi, Injili ya yesu inaendelea. Nampa Hongela sana Kijana Bukuru Celestin. 

Kama bado hujapata CD yake "URUGENDO" jipatie nakala yako Original kwa sasa

The Superlative Kaburungu

Tuesday, October 16, 2012

Maswali 50 ambao waislamu hawawezi jibu


50 Questions to Moslems,
they can not answer
1- Koran said that the Bible is true, but both books are contradictory, how can be both from the same God?
2- Most of the Koran is taken from the Bible, so why don’t Moslems believe in the Bible?
3- Why does not the Koran speak about love?
4- If you teach little children about how Islam started, with much fighting and war, will not kids be violent and aggressive?
5- Mohammad didn’t give any prophecy, how can he be a prophet?
6- Why Mohammad and all first leaders of Islam accepted the Bible but new religious leaders teach that the Bible is fake and not original?
7- If the Bible we have is not original, where is the original?
8- How could Mohammad at the age of 55 marry a girl at the age of 8, is it normal?
9- The life of Mohammad is full of killing and fighting and marrying a lot of women, does not that encourage a perverted society?
10- Why women cover their heads when the Koran didn’t ask that and it is not a religious duty?
11- Is not it strange that the Koran promises those who die for the sake of God, a garden of Eden with seventy white women?
12- Will you like to give your only daughter for a lot of men who died for Islam?
13- Why Moslems don’t believe in Christ who made a lot of miracles in the Koran that no other prophet did?
14- Christ made much more miracles that any other prophet, why Mohammad didnt do any miracle, why then Moslems don’t believe in Christ?
15- All the miracles that God may do, Christ did, why then don’t Moslems believe in Christ?
16- Christ is the only person who has never sinned even in the Koran, while all other prophets did lot of sins especially murder and killing, why then don’t Moslems believe in Christ who is holy and perfect?
17- How could a sinner (Mohammad) who asks the forgiveness of God for his sins, save Moslems and advocate for them in the judgment day?
18- Which is greater, a prophet who died or a prophet who never died, Moslems believe that Mohammad died while Christ didn’t die?
19- Religion and belief are reflected in society, is it the horrible situation in the Islamic countries a reflection of their religion and beliefs, why then don’t they change their beliefs and therefore, their community is changed?
20- The Islamic countries never invented any machine or technology, is not it because of their religion?.
21- Islam is extended and expanded as a result of bad means: fighting, marriages with Christian girls and having many children, if Islam is from God, why do Moslems need such evil and sly means?
22- What do Moslems think when they know that Christianity was expanded never by force or killing but evangelism and the power of God?
23- When Christians killed others throughout history, they didn’t have any support in the Gospel to kill, but aren’t Moslems backed up and supported by their religion when they killed others?
24- Moslems want to make the whole world Islamic then boast of that, but do they want the whole world to be like Saoudia Arabia or Yemen or Iran? Do they think the world will be happy?
25- Moslems know that Christians helped and defended Mohammad and Moslems when Islam started, why Moslems today hate Christians and want to kill them and teach that they are lost?
26- When Moslem leaders teach that Christians have a wrong book religion, don’t they encourage their people to kill Christians?
27- Why Mohammad prohibited wine while he was washing himself with wine?
28- Mohammad had no sons, he adopted a child called Zeid, Is not strange that Mohammad took the beautiful wife of his adopted son, despite the fact that he married many women?
29- Is not it strange to read that Mohammad got his “divine inspiration” when his face put into the lap of his wife at time of menstruation?
30- How can Moslems explain that the Koran allowed the breast sucking of adults by women others than mothers? Women can breast feed any man they want?
31- Koran teaches that any who worships idols or other gods must be killed while Mohammad when he was young worshiped idols, how can we explain that?
32- The best friends of Mohammad were Christian pastors and monks (Pastor Ben Saed el Ayadi, Pastor Waraka Ben Nofel and Monk of Buheiira), is not clear that they taught him the stories of the Bible and he narrated them in literary Arabic?
33- Moslems pretend that the Koran was written in a highly literary language, but was not that the ordinary language of Kuraish (the old city of Mecka)?
34- Why Moslems want Jerusalem when neither Moses nor Mohammad lived in Jerusalem, only Jesus lived there?
35- Is not normal that Moslems built their important mosque of Al – Aqsa on the land of the Jewish temple?, People who do that, are they peaceful and good?. Moslems turned many churches into mosques as well?
36- Is it acceptable by Moslem scholars and leaders to build a mosque in the square of the Christian annunciation church in Nazareth? (where the angel preached to Mary about the birth of Christ). Is that a respect of other people?
37- Why Moslems are angry with the United States that occupied Iraq and Afganistan, Islamic countries, when history tells that Moslems occupied all the Middle East and North of Africa and Spain? Are not both cases bad and uncivilized thing?
38- Why Moslems hate Jews and teach their people to kill them when they know that Moslems started and built their mosque on the ground of the Temple?
39- Why Moslems teach to destroy Israel when the Quraan clearly says that Palestine is for the people of Israel?
40- Is it strange that we read about Mohammad that he tried more than three times to commit suicide? How can such a person save others?
41- Is it strange that the holy Quraan is full of sexual images and terms such as opening, intercourse (Nika7), and women, and speaks about animals (titles of many chapters (Soura) are names of animals.?
42- Why Moslems reject the Christian belief that Jesus is the son of God, claiming that God can not have a son, while Islam uses the terms the hand of God, the face of God, the foot of God?, Can God have hand, face and eyes but not son? They say it is an idiomatic and symbolic language not literal, Christ is not the literal son of God but the one who fully represents God.
43- Is not strange that Moslems don’t accept that Jesus died while at least three verses in the Koran say that Jesus died? (they say not literal death!) “Jesus says : peace on me when I was born, was dead and was risen again” (Koran) Is not clear?
44- Moslems want to make the whole world into Islamic and they attack the Christian countries, why then they like so much to live and study in Christian countries and not in Islamic countries?. If they live for example in London, why then they criticize England all the time?
45- Where is the respect for women when Mohammad married many women and he allowed Moslems to marry four women and made divorce so easy (three times divorced makes her divorced)?
46- Is not it funny that Moslems preach and teach every Friday about love, respect and peace while they don’t have that in the Koran, they teach good things and morals that Christians teach? I read about marriage at one Islamic site, all the ideas are taken from Christian authors and they say we Moslems believe..?
47- Why Moslems after any discussion or argument with a Christian or a Jew they decide to revenge and kill all those who don’t agree with them? Enter the Paltalk in the internet and listen to how Moslems react. Only threatening and promising to kill and destroy.
48- Shouldn’t the prophet be morally good and blameless and a godly man? Was Mohammad morally so?
49- How do Moslems reject the sacrifice of Christ as a means of redemption and atonement, and at the same time, they have every year the feast of sacrifice (Al Adha) in which they kill many animals? Is not it similar to what Moses did?
50- Is not it Islam a copy of Judaism? Is not it very similar to Judaism in all things even in small details such as prohibition of wine and of eating pigs, and circumcision and marrying lot of women and killing the enemies? 
"Said Dr. Ahmad 
Sasa wadau muna semaje? maoni yenu kuwashauri waislamu wenzetu walio potea wamurudilie Bwana! Warundi musidanganyike dini moja ya kweli, Kumwamini Bwana Yesu kama mwokozi wa maisha yetu, na kua ni Mungu mwenye Nguvu! 
Amani ya Bwana awe nanyi!
The Superlative Kaburungu

BILLY GRAHAM:Mungu asipoipiga Marekani awaombe radhi Sodoma na Gomora;Asema wamekithiri kwa uovu.


“If God doesn’t punish America, He’ll have to apologize to Sodom and Gomorrah.”

Mwinjilisti wa kimataifa, Billy Graham (95), amesema ikiwa Mungu hatashuka kuihukumu Marekani kutokana na kufanya uasi wa kila namna bila ya kuwa na hofu, basi itampasa aiombe radhi Sodoma na Gomora miji ambayo aliangamizwa kwa moto.

Rai hiyo aliitoa wiki chache zilizopita katika sherehe ya kuzaliwa, kwake ‘birthday’ iliyofanyika wiki iliyopita na kushuhudiwa na maelfu ya watu ambapo alisema kuwa wamarekani wamekuwa wakifanya dhambi kwa namna ya kutisha na sasa imefikia hatua mbaya, hawana tena hofu ya Mungu.

Mtumishi huyo ambaye amekuwa akihubiri watu zaidi ya bilioni mbili kwa wakati mmoja kwa kutumia vyombo vya habari alibainisha kwamba, Marekani ni taifa kubwa na watu wengi duniani wamekuwa wakiiga kila wanachofanya hivyo uovu wao haubakii kwao peke yao bali unaharibu sayari yote.

Alibainisha kwamba Mungu ni mwingi wa rehema, na kuwa ikiwa watamaanisha kutubu na  kuziacha dhambi zao ni dhahiri kwamba atawasamehe na kuwarehemu, lakini wakishupaza shingo wataangamia kabisa.

Mwinjilisti huyo alisema ili kuikimbia ghadhabu ya Mungu, Wakristo wote nchini humo na mataifa jirani kama Kanada,wanapaswa kukusanyika kwenye majumba yao na marafiki, majirani na  ndugu zao ili kushiriki ibada kwa pamoja kupitia Luninga zao aliyoiita Living Room Crusade” kwa muda wa siku 40 kuanzia September 28 hadi November 6 kabla ya Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo. 

Alisema amekuwa akihubiri kupitia Tovuti zake, na hilo ndilo litakalofanyika wakati wa kuomba msamaha, huku akibainisha kwamba, itapangwa siku maalum kwa ajili ya tukio hilo, ili kila mtu apate muda wa kushiriki; aweze kutubu, kumwomba Mungu awasamehe maovu yao ambayo ni zaidi ya Sodoma na Gomora.

Mwinjilisti huyo wa kimataifa ambaye amekuwa akimtumikia Mungu kwa miongo kadhaa sasa, alibainisha kuwa, katika kukusanyika pamoja kwenye majumba ya Wakristo, kila mmoja atapata wasaa wa kueleza uovu wake mbele za Mungu, huku akichanganua kuwa suala la utoaji wa mimba limekuwa kubwa.

Mbali na hilo, mtumishi huyo ambaye amekuwa akiwapa ushauri wa kiroho marais mbalimbali waliowahi kuitawala Marekani, akisisitiza juu ya hilo; alitolea mfano wa mji wa Ninawi  ambao ulikithiri kwa dhambi, lakini Yona alipoingia na kuwaambia kutangaza kuwa utaangamia baada ya siku 40 walisikia na kutubu.

“Ninaamini msamaha walioupata wana wa Ninawi, unaweza kutokea na kwetu, Yona alipopita na kutangaza, waliitana na kutubu,” alisema Mwinjilisti Graham.

Miongoni mwa watumishi nchini humo waliounga mkono kauli hiyo ya Graham, ni pamoja na Mwenyekiti wa ‘American for Jesus’ Anne Gimenez ambaye siku hiyo ya kutubu atakusanya watu zaidi ya laki moja huko Philadelphia, alieleza kwamba, jambo kama hilo liliwahi kutokea kipindi cha nyuma Marekani na mataifa ya Ulaya baada ya kuibuka kwa mmomonyoko wa maadili na mambo ya kiroho.

“Nadhani wazo la Billy Graham ni sahihi, taifa hili linakuwa na watu wengi wasioamini, na jambo hilo linavyokuwa kwa kiasi hichi giza huingia, lakini kama tukiomba, basi nuru itaingia,” alisema.
Mwingine ni Mwandishi wa vitabu nchini humo, Rabbi Jonathan Cahn, kwa upande wake alieleza kwamba Mwinjilisti huyo wa kimataifa amekuwa Mchungaji kwa marais na watu maarufu kwa miaka mingi, na hilo analolisema sasa ni onyo linalopaswa kuangaliwa na kutendewa kazi.

“Haijalishi ni giza la namna gani lililopo, bado lipo tumaini na wokovu pia, lakini ni pale tutakapotubu na maombi ya watu wa Mungu, unajua akisema Marekani ina shida tunatakiwa kutubu,” alisema.
Mkurugenzi Mtendaji wa Awakening America Alliance, Billy Wilson, alisema kwa upande wake atakusanya makanisa ya kipendekoste na Charismatic zaidi ya 300 na kwamba wamefurahia jambo hilo lililoletwa na Billy Graham.

Tangu mwaka 2002 mtoto wa Billy Graham, na mjukuu wake Will Graham, wamekuwa wakifanya uinjilisti katika mataifa kama 50 ya Ulaya, Afrika, Asia, Latini na Mashariki ya Kati na miongoni mwa makanisa yanayoshiriki ni zaidi ya 305,000 na kwa msingi huo watu wapatao milioni 10 wameweza kumgeukia Kristo.

Imeelezwa kwamba makusanyiko ya kusikiliza ujumbe wa Graham, yatayofanyika maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kwenye majumba ya kupata kahawa, na maduka yanafananishwa na mtoza ushuri nyakati za Biblia, kuwa baada ya kutubu dhambi aliamua kuita watu na kuwarudishia kile alichokuwa akitwaa kinyume na taratibu.

Wakati huo huo Askofu E. W. Jackson, mtaalamu wa mambo ya Maji na sheria kutoka chuo cha Harvard, nchini Marekani, amewataka Wakristo nchini humo, kutokichagua chama cha Democratic, katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika November, 2012 kwa kuwa kina imani potofu.

Mwandishi Paul Stanley, wa gazeti la Kikristo nchini humo anaripoti kuwa, hivi karibuni Askofu huyo alieleza kwamba chama cha Demokratic kinawaingiza utumwani baadhi ya waamerika.
“Waachieni watu wa Mungu waende,” alisema Jackson akiwaambia Wakristo kupitia mawasiliano ya simu ni wazi kuwa Democratic ni chama cha Mpinga Kristo katika nchi hii.Wameikataa Biblia na kile Wakristo wanachokiamini, na kuhamasisha kile watakacho wao kinyume na maadili ya familia. Hii ni mbaya kwakuwa wanalimomonyoa taifa na Mungu wetu,” alisema.
Askofu Jackson alinyooshea kidole habari za hivi karibuni kutoka kwa Waliberali waliomshambulia kwa maneno mwanamichezo wa Olympic, Gabrielle Douglas, mwenye umri wa miaka 16, aliyeshinda medali ya dhahabu huko London 2012 na kusoma Biblia, lakini wapenzi wa chama hicho wakamjia juu ya kuwa haikuwa sahihi.
Baada ya ushindi wa mwanariadha huyo alisoma maandiko kwenye Warumi 12:19, yasemayo: “Wapenzi, msijilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa kisasi ni juu yangu mimi, mimi nitalipa, anena Bwana.” Mwanadada huyo mahiri aliazimia kumpa Mungu utukufu kwa ushindi wake,” alisema katika taarifa yake ya kimaandishi.

Monday, October 15, 2012

Maandalizi ya Mpinga Kristo........., Umoja wa Dini 5O wazua Balaa! Papa Benedict, Lutheran wahusika,Makanisa Mengine yajiweka kando pia Quran na Biblia zasomwa kwa p

Papa Benedict 
  • Wakristo tuwe macho, maana tunaukaribia wakati mgumu, Papa Benedict anaandaa upingaji mukubwa kwa wafuataji wa Jina la Yesu, hakikisheni mumeyashika ya Bwana Yesu aliyo yasema! 


Wakati wengine wakiendelea kubishania uhalali wa ibada za mafuta na vitambaa, hatua kubwa ya kufikia umoja wa kidini yaani United Religious, utakaokuwa na nguvu kuzidi Umoja wa Mataifa (UN) imefikiwa hivi karibu, baada ya dini zaidi 50 kuandaa ibada siku ya Jumapili na kutumia Bibilia na Qura’n.

Taarifa iliyonukuliwa na Gazeti la New York Times, ilisema: “Mihimili mikuu mitatu kuelekea mfumo mpya wa dunia ambayo ni Umoja wa kiuchumi duniani, Serikali moja na Dini moja. Masikio ya wengi yameelemea kwenye mihimili miwili zaidi kuliko ule wa tatu ambao wameupuuzia. Lakini huu wa tatu ambao ni dini ya pamoja (kwa maana ya imani moja) ndio usukani na sasa unakaribia kufikiwa. Huu ndio unaojulikana kama ‘Interfaith.’ 


Makongamano na mikutano inaendelea kuongezeka kwa kasi siku hadi siku duniani, huku viongozi wakuu akisisitiza kuwepo kwa ushirikiano wa pamoja. Imani ya kuwa na dini moja"Interfaithimekuwa ikisisitizwa kote duniani na viongozi wa dini mbalimbali wakitumia mashirika (NGOs), mashirika ya misaada, na taasisi mbalimbali, wanasisasa wakubwa wametumiwa kuipa msukumo kwa fedha nyingi katika sayari hii.”
Kisha taarifa hiyo iliongeza: “Hivi karibuni baadhi ya makanisa katika Amerika yamekwenda mbali zaidi katika suala hilo. Juni 26, mwaka huu, Kathedral ya Kitaifa (National Cathedral) katika Jiji la Washington D.C. iliandaa ibada ya pamoja  na zaidi ya makanisa 50 yalishiriki kusoma Quran wakati wa Ibada ya Jumapili.”
Wachambuzi wa siasa dini wanaeleza kuwa hiyo ni hatua katika mkakati mkubwa wa kuundwa kwa shirikisho kubwa la kidini katika kipindi cha mpito kuelekea kuzaliwa rasmi kwa umoja wa kidini  ulimwenguni, ukishinikizwa kwa kipengele cha haki za Binadamu.
Somo kuu katika Jumapili hiyo lilikuwa “Kushirikishana imani, Kushirikiana maombi na kuelewana.” Lengo likielezwa kuwa ni kuonesha upendo wa Wakristo kwa Waislamu waishio Amerika.
Miongoni mwa makanisa yaliyoshiriki ni: Christ Church lililopo jijini New York City,
All Saints Church lililopo Pasadena California, Park Hill Congregational huko Denver,

Hillview United Methodist lililopo Boise, Idaho First United Lutheran, katika mji wa San Francisco, St. Elizabeth's Episcopal Church, huko Honolulu, Makanisa makubwa (dini mbalimbali) yapatayo 26 katika Amerika yamehusika na mpango huo. 

Interfaith Logo 


Imeelezwa kuwa usomaji huo wa Quran ni mpango maalumu wa kulainisha dini zenye misimamo mikali ili kuonesha kuwa upo uwezekano wa kufanya ibada pamoja na kumaliza tofauti zilizowatenga zamani.
Mpango huo mkubwa unatarajiwa kua endelevu ukijumuisha Wakristo, Wayahudi na Waislamu kwa njia ya kusikia na kusoma aya kadhaa, za Qur'an mara kwa mara ili watu wazoee kuwa pamoja na mwisho waunganishe mioyo yao pamoja na kuabbudu pamoja.
Kwa mujibu wa waandaaji wa mpango huo, Interfaith, Waamerika wana uhuru wa kusoma Quran popote wanapotaka. Lakini kwa Wakristo hawana nafasi ya kusoma na kujifunza kitabu hicho, hivyo kuwepo kwa utaratibu wa kuisoma kila Jumapili wanapokutana kanisani kwenye Ibada na kutawafanya waielewe na kuwa na ‘umoja’ na Waislamu na kuonyesha kutowabagua; jambo ambalo linaonesha dalili ya kuzaliwa kwa kitu kipya duniani.
Wakati huo huo, baadhi ya viongozi wa Kikristo duniani hawako radhi na muendelezo huo. Brannon Howse, mmoja wa viongozi mashuhuri alisema: “Watu hao wamekana uungu wa Yesu Kristo; wamekana ukweli wa maandiko matakatifu; wamekana uvuvio wa Biblia, ni vipi tushirikiane nao na kusoma kitabu chao kwenye ibada zetu?” 


Kisha aliendelea: “Inasikitisha, hii siyo mara ya kwanza. Ukweli ni kwamba umoja huo umepata nguvu miongo kadhaa na baadhi ya wakuu wa dini ulimwenguni wamehusika.
Kwa mfano; habari zilizopatikana kupitia CNS zinaeleza kuhusu muungano mkubwa ‘interfaith’ wakati Papa alipotembelea jiji la Washington 2008.”
Alisema kuwa wakati Papa Benedict XVI alipofika kituo cha, Pope John Paul II Cultural Center kilichopo Washington kwa mkutano wa jioni wa dini zote ‘interfaith’ zilikuwepo dini mbalimbali ambazo hapo awali isingekuwa rahisi kukutana na kuabudu pamoja. Waislamu, Wahindu, Wayahudi na dini nyingine zilipata nafasi zilishiriki; isipokuwa Assemblies of God,hii haikuthubutu hata kusogelea.
Viongozi wa Dini kubwa katika Amerika wanahusika sana na umoja huo "Interfaith movement," kwa mfano; Brian McLaren, mmoja wa viongozi wa juu wanaoendesha umoja huo, inasemekana kuwa mwaka 2009 alisherehekea Ramadhan na hata kuvaa mavazi yanayovaliwa na wahusika.
Katika sherehe hiyo; Rick Warren, mshirika wa Baraza la Uhusiano wa Nje, alikuwa Mgeni rasmi na mnenaji kwenye Kongamano la kitaifa la Waislamu huko Amerika ya Kaskazini, (Islamic Society of North America).
Baadhi ya viongozi wa makanisa wakiwemo Rick Warren, Robert Schuller, Brian McLaren, Richard Cizik na Bill Hybels walitia sahihi barua kwa Jumuiya ya Kiislamu iliyokuwa na kichwa kisemacho;  ‘Kumpenda Mungu na jirani yako’
Barua hiyo iliweka bayana kuwa viongozi wa Kikristo wanamtambua Allah kuwa sawa na Mungu wa Wakristo.
Barua hiyo ilisema:“Kabla hatujashikana mikono; katika kukubaliana na barua yetu, tuwatake radhi kwa kuomba msamaha kwa Muumba wa wote. Kwa Waislamu muumbaji ni Allah.
Kwa barua hii, baadhi ya viongozi wa Kikristo wanamuomba na wanatubu kwa jina la Allah, na wanamtambua kuwa ndiye Mungu.”
Kama tulishindwa kurejesha amani na kuwa pamoja, sasa tumesahihisha mawazo yetu na kwamba tunaweza sasa kutakasa nafsi zetu.”
Barua hiyo ndiyo iliyozua hofu duniani kuwa  huenda wakati sasa umewadia wa baadhi ya viongozi kudhihirisha hali ya vuguvugu  na kukosa msimamo wa kiimani.
“Kwa kweli  huu ni usaliti wa hali ya juu, kuandika barua na kueleza kuwa Allah ndiyo Mungu anayeabudiwa na Wakristo  ni mwanzo wa kuelekea katika  dini moja na utawala wa Mpinga Kristo,” alisema Mchungaji Jonathan Emmanuel, wa Nigeria.
Alisema kuwa anautazama mwelekeo huo kama jambo la hatari kwa kuwa Biblia katika  kitabu cha
Yohana 14:6 , Yesu anasema: “...Mimi ndimi njia, na kweli na uzima; mtu haji kwa baba ila kwa njia ya mimi.”
Kiongozi huyo alisema kuwa ukweli wa ki-Biblia uko wazi na wala hauna kificho kuwa Yesu ndiye njia pekee ya kufika mbinguni. Ikiwa unaamini hivyo  ni vipi uandike tena barua ya hatari kama hii ya  kumhusisha Allah na ufalme wa Mungu?
Kisha aliongeza: “Katika amri kumi; awali kabisa tunakutana na maandiko yasemayo; “Usiwe na miungu mingine ila mimi. Usifanya sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni , wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukizao, nami nawarehemu maelfu  wanipendao, na kuzishika amri zangu.”
 (Kutoka 20:3-6) 

BAADA YA WAISLAMU KUCHOMA MOTO MAKANISA TAREHE 12 MWEZI HUU.HILI NDILO TAMKO LA ASKOFU MKUU WA TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD, DK. BARNABAS MTOKAMBALI.

Oktoba 12 mwaka huu, matukio mabaya na yenye kutia doa sifa ya amani umoja na Utengemano wa Taifa la Tanzania, yalijitokeza huko Mbagala Jijini Dar es Salaam, wakati watu wenye jazba wanaoaminika kuwa ni Waislamu wenye msimamo mkali walipovamia makanisa saba ...na kuyachoma moto eti kwa kulipiza kisasi cha mtoto aliyekojolea kuran katika utani wa kitoto.
Katika mkasa huo ambao ni kama muendelezo wa ghasia zingine zilizotokea kule Zanzibar miezi michache iliyopita na kuteketeza makanisa mbalimbali mbali na kuharibu mali za kanisa na zile za watu binafsi.
Tukio la Mbagala limesababisha makanisa saba kuharibiwa vibaya, mali kuibiwa na hata kuhatarisha maisha ya watanzania na kuwafanya waishi kwa hofu na kupoteza matumaini.
CHANZO CHA TUKIOKwa mujibu wa walioshuhudia, Polisi na wahusika (Waislamu) chanzo cha ghasia hizo na mabishano ya kitoto baina ya watoto wa dini ya Kiislamu na kikristo, waliobishana kuwa ikiwa mtu atakojolea kuran na kuitemea mate atageuka mbuzi au nyoka.
Lakini baada ya tukio hilo la kitoto watu walilikuza na kulipeleka kwenye misikiti na hivyo kuchocheza ghasia. Kimsingi tukio lenyewe ni jepesi sana ukilinganisha na matokeo yake. Ukweli kwamba waliofanya utani huo ni watoto na chanzo chake ni mabishano ya kitoto, unatia shaka kuwa huenda kuna hoja nyuma ya pazia ambayo isipotazamwa kwa makini inaweza kulete matokeo mabaya sana.
Jambo linalonitia shaka ni kufanana kwa matukio ya kuchomwa moto kwa makanisa ya Zanziabar na ya Mbagala ambapo hakukuwa na uhusiano wa vyanzo vya ghasia na makanisa husika.
Mfano; Ghasia za Zanzibar zilizopelekea kuangamizwa kwa makanisa zinaelezwa kuwa zilitokana na kikundi cha Kiislamu cha Uamsho wa Mihadhara, kilichokuwa kikiandamana kudai mjadala wa Muungano, lakini zikaishia kwenye uchomaji wa makanisa, hapa hauonekani uhusiano wa kanisa na Muungano; nalazimika kujiuliza kulikoni?
Vivyo hivyo tukio la Mbagala halina uhusiano wa moja kwa moja na kanisa kwa kuwa hakuna ushahidi wala hata tetesi kuwa mtoto huyo alitumwa na kanisa lolote. Wahusika wa dini ya Kiislamu akiwepo Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, analielezea tukio la kitoto kama lisilostahili hata mtu kufunguliwa mashtaka bali kuelekezwa tu. Ni vipi lisababishe uchomaji wa makanisa?
MAKANISA YALIYOCHOMWA MOTOKatika ghasia hizo za aina yake, makanisa saba yamethibitishwa kuharibiwa kwa kuchomwa moto, kupasuliwa vioo, viti na kuibiwa vyombo vya muziki na jenereta. Makanisa hayo ni TAG Kizuiani, Agape, Kibonde maji, SDA Sabato, Mbagala Kizuiani, Katoliki Kristo Mfalme Mbagala Rangi Tatu, Anglican Mbagala Kizuiani, KKKT, Mbagala Zakhem na TAG, Shimo la Mchanga.
Pamoja na majengo hayo kubomolewa kwa viwango tofauti mengine yakichomwa moto, pia wahusika waliiba Genereta, na vyombo vya muziki vya makanisa hayo na kuvunja magari na baadhi yao kuchomwa moto.
Choko choko zilizinazoweza kuwa cahanzo cha matukio hayo ni:
Januari sita mwaka huu, kikundi kimoja kinachoitwa JUAKITA, kiliitisha kongamano la kujadili katiba mpya Tanzania, kwa upande wa Waislamu. Katika kongamano hilo lililofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam kulitolewas kauli za kichozi kama:
1. Lazima Rais ajaye atoke Zanzibar
2. Kukabiliana na ukuaji wa kasi wa dini ya Kikristo
3. Kupinga Muungano ili kuupa nguvu Uislamu
4. Kupigana kufa na kupona kutetea maslahi yao wakati huu wa kuandaa katiba mpya.
Kauli hizo zilitolewa na Sheikh Nasoro Mohamed, kutoka Zanzibar, ambaye alikuwa mgeni rasmi. Baadaye zikaandaliwa kanda za CD zilizosambaza ujumbe huo.
Uchunguzi unaonesha kuwa uchochezi huu umekuwa ukiwaandaa watu kusubiri vijitukio vidogo tu ili kulipua ghasi. Tuliona jinsi makanisa yalivyochomwa kule Zanzibar. kwa kuwakumbusha tu makanisan yaliyoangamizwa katika tukio hilo ni: EAGT, Elimu Pentecost na TAG, Anglikana, Katoliki na FPCT.
Ni jambo la kusikitisha kuwa matukio haya yanatokea siku mbili tu kabla ya maadhimisho ya miaka 13, ya kifo cha Rais wa Kwanza, Mwl. Julius kambarege Nyerere. Leo hotuba na midahalo inarindima kila mahali kumuenzi Nyerere, lakini wengi wetu tukiwa tumejaa majozi baada ya nyumba zetu za ibada kuharibiwa katika matukio yanayoashiri hatari kubwa.
Hofu yangu ni kuwa, roho hii ya ubaguzi wa kidini ambayo Baba wa Taifa hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere aliifananisha na dhambi ya kula nyama ya mtu, imekuwa ikiyatafuna mataifa ya Afrika kama ifuatavyo:
1. Mwaka 2000, vuguvugu la kuanzishwa kwa utawala wa Kiislamu (Sharia), lilianza kwenye majimbo ya Kaskazini mwa Nigeria, miaka michache baadaye majimbo kadhaa yakajitangazia sheria hizo na tangu wakati huo kumekuwa na mapambano yasiyoisha. Takwimu zinaonesha kuwa katika miaka ya karibuni zaidi ya Wakristo 500 wameuawa kikatili na makanisa kuchomwa moto.
2. Roho hii imekuwa ikienea kwa kasi katika maeneo mbali mbali ya Afrika ambapo imelikumba taifa la Mali, majimbo ya kaskazini tayari yametangaza kujitenga na kuna vuguvugu lenye kuhusisha mapigano ya silaha.
3. Itakumbukwa kuwa miezi michache tu ilizopita vuguvugu hili la kudai utawala wa kidini liliibuka nchini Kenya ambapo watu wanaojiita wanaharakati walianzisha madai ya kutaka eneo la Pwani kujitenga na Jamhuri ya Kenya na kujitangazia taifa la Kiislamu.
4. Katika tukio hilo inasemekana mtoto huyo alitengenezewa mabishano ya kitoto kuwa akichoma kurani atakuwa chizi naye akabisha
kisha akapewa kiberiti na kurani akachoma tena walioandaa
mzaha huo wakamkamata na kumpeleka mahakamani.
Tukio linalofanana na hilo lilitokea tena Bagamoyo mkoani Pwani
ambapo mtoto wa kike alishtakiwa na hata kuhukumiwa kifungo
kwa madai ya kuchoma kuran lakini tukio lilikuwa katika mabishano
ya midhaha ya kitoto
WITO WANGUNatoa wito kwa Wakristo wote nchini kujiepusha na mizaha
inayoweza kutengeneza sababu za kulipuka kwa ghasi na kutengeneza
mwanya wa watu wenye nia mbaya kutekeleza agenda zao zaria Ili
kulinda amani umoja na utengemano wetu, nawasihi viongozi wa makanisa
kuonya na kukemea waumini na watoto wetu wasishiriki kwa namna yoyote ile mizaha inayopelekea kuchoma au kuharibu vitabu au nyaraka
za kidini.
Nawasihi watanzania wote kwa ujula kujiepusha na mizaha ya kidini inayoweza kuchafua amani yetu, na pale jambo lolote lenye kukera linapotokea tujiepushe kuwa mawakala wa shetani wa kueneza chuki badala ya amani na upendo.
USHAURI WANGU KWA SERIKALI NA VIONGOZI Nawashauri viongozi wa Serikali ambao leo wanatoa matamko na kushiriki midahalo ya kumuenzi Mwl. Nyerere kukumbuka kuwa huyo alikuwa na mapenzi makubwa na amani na umoja wa taifa. Kwa hiyo kumuenzi kwa vitendo ni kudumisha utawala bora, unaofuata sheria usio na chembe ya ubaguzi wa aina yoyote.
Kulipuka majukwaani kumuenzi Nyerere bila kuilinda na kuitetea amani ya nchi ni kujidanganya.
Ni wajibu wa kila Mtanzania kutii sheria na mamlaka kwa kuwa zimewekwa/kuruhusiwa na Mungu, hivyo kuziasi ni Kumuasi Mungu, yaani ni dhambi. Hivyo kila Mtanzania anastahili kukumbuka wajibu wake wa kutii mamlaka.
Viongozi wenzangu wa dini wakumbuke kuwa wana wajibu mkubwa katika jamii, na jamii inawasikiliza hivyo ni vyema wakawa makini katika matamshi na maelekezo yao ili wasiwe chanzo cha kuchochea vurugu za kidini na uvunjaji wa amani.
Pia ningependa kuwashauri viongozi wa serikali kusimama imara katika kusimamia sheria na haki, na kuepuka kauli au vitendo vitakavyofanya baadhi ya watanzania kudhani kuwa hawatendewi haki.
Ni vema ieleweke kuwa matukio kama haya ya uvunjaji wa amani yasipodhibitiwa na kukomeshwa haraka yanaweza kuumba chuki ambayo inaweza kuibua mlipuko mkubwa na machungu kwa wananchi na matokeo yake yakawa mabaya kwa Taifa zima. Hekima na busara inatufundisha kuwa tusipoziba ufa tutajenga ukuta.
Ni vyema wenye dhamana ya kuongoza wakakumbuka kuwa wanawajibu mbele ya Mungu aliyewaweka au kuwaruhusu kuingia madarakani na siku moja watatoa hesabu mbele zake.
Ni vyema viongozi wa Serikali wakajizuia kufanya maamuzi yanayoashiria upendeleo kwa baadhi ya makundi ya kidini na kukiuka utawala wa sheria, mfano; kutii waandamanaji na kuwaachia bila mashrti watu waliokamatwa kwa mujibu wa sheria kuna jenga kiburi kwa makundi yenye kiu ya matumizi ya nguvu na kujenga hofu kwa pande zingine.
Ni vyema mamlaka zikasiamama katika sheria na kufanya hukumu kulingana sheria badala ya kuamua mambo ya kisheria kisiasa.
WITO MAALUMU KWA VIONGOZI WA DININitumie nafasi hii kuwasihi vingozi wenzangu wa dini, kusimama imara katika kuombea taifa na kuhubiri kwa nguvu ili kukabiliana na giza la kiroho ambalo linatishia kuifunika nchi.
Takwimu za karibuni kabisa za utafiti uliofanywa na taasisi ya Washnton DC iitwayo, Pew Research Centre, na kurushwa na Televisheni ya CNN, Katika kipindi chake cha Inside Africa, zilionesha kuwa watanzania asilimia 93, wanaamini mambo ya ushirikina na uchawi wakati Uganda ni asilimia 29 na Kenya ni asilimia 27. Tu. Mahali ambapo giza la kiroho limezingira kiasi hiki ni lazima matukio ya kishetani yashamiri tuchukue hatua.
Mwisho, natoa wito kwa watanzania wenzangu tuulinde umoja, amani na utengamano wa taifa letu, tusikimbilie dhambi ya ubaguzi kwa kuwa tukiiruhusu itatuangamiza sote. Tuliombee taifa letu na kukiwa na mbegu ya chuki tuimalize kwa njia ya majadiliano na vikao vya pamoja vinavyohusisha viongozi wa dini zote na serikali pia.



Imetolewa leo 14/10/2012
Na Dk. Barnabas Mtokambali
Askofu Mkuu wa TAG

Jikaze uyashinde mapito

Mapito unayo pitia ndugu yangu ni mda

Ndugu zangu wapendwa, na wasalimu katika Jina la Yesu. Wadau wangu wote na washiliki wa blog yangu hii, leo ningependa tukumbushane machache kuhusu neno la Mungu, safari turio nayo ni ndefu sana, tena tukumbuke ya kwamba safari haikosi makwazo. 

Kitabu cha Jeremiah (YEREMIA) 29:11 panasema: "Maana ninajua mawazo niyowawazia, asema BWANA, ni mawazo ya Amani, wala si ya mabaya; kuwapa ninyi Tumaini siku zenu za mwisho (kwa bibilia ya kingereza siku za mwisho ni: Future "siku sizajo mbele"). Hata kama unapitia hayo, ikiwa ni shida, magonjwa, mateso, majaribu, mikosi, nuksi, etc, Ujue kwamba Mungu anakuwazia mema. Hayo yalio kupata si lengo la Mungu, ndo maana anakuandalia mpango mzuri wa kukutoa katika mapito hayo. Bwana yesu alisema katika kitabu cha YOHANA 14:1-3 "Msifadhaike miyoyoni mwenu, mumwamini Mungu muniamini na Mimi. Nyumbani kwa Baba kuna makao (mazuri) mengi, kama hazingekuwepo ninge waambia, tena naenda kuwaandalia pa kwenu. Kwa maana naenda kuwaandalia pa kwenu, nitakuja kuachukua, ili nilipo na nyi muwepo."Alipo Yesu hakuna Shida, magonjwa, matatizo wala majaribu, etc. ila kuna furaha na Amani tele. Basi alipo Yesu lazima na wewe uwepo, ndo ahadi yake njema alio agana nasi.  Tukumbuke nabii Musa, Mfalme Farao alifanya amri ya kuuwa watoto wakiume ila Bwana akapanga mpango wa kumuokowa. Mpango wa Farao (hesabu kama Shetani ao aduwi) hukumufikia Musa. Kuna mpango wa Mungu wa kukuokoa ambao bado hujafichua, subiri kwa Imani utaona Mijuiza. Hatuwezi kujua mawazo wala mpango wa Mungu, ila tunalo tumaini katika maandiko yale ya YEREMIA 29:11. Mawazo yake kwako ni ya Amani; ni kwamba anakuwazia mema na anakutakia Amani katika shida zako. Tukifikiria kuhusu hari ya hewa, kuna Summer, Spring na Fall; mda wa fall hua kuna balidi kubwa sana na kuna Nchi ambazo zinafikiwa na balidi kali kabisa hadi mtu kufikiri ahame. Lakini huwezi kutosha matumaini kwasababu ya balidi hiyo, maana Summer ikifika utafurahi hakutokua balidi tena. Basi, usiruhusu mapito yakukoseshe raha ambazo zinakuja mbele yako kama vile Bwana alivyo sema. Simama imara, Mungu atakupigania. Ikiwa ni kwenye ndoa yako, hayo ni mapito tu, tia Imani yako na matumaini yako kwa Yesu Kristo, siku moja utapa amani na mmeo ao mkeo pia na na watoto wako. Mawazo ya Bwana si kama yamwanadamu na Njia zake si kama za mwanadamu, basi kama tunatambua hilo, lipi ambalo Mungu wetu asilo liweza? Bwana anasema yakwamba mwenye haki hatoachwa, bali humulinda na kumukinga na kumuokowa katika shida zake zote. Tafadhari mapito hayo yasikusababishe wewe kumwacha Yesu, songa mbele! Muombe Mungu akufunze kuziendea njia zake zote na kufuata amri zake, maana kuna faida kulijua neno! Mungu wetu anaitwa Mfariji wa Ajabu. Ebu tusikie Bwana alio yasema katika kitabu ya Isaya 41:9-13 "Wewe niliye kushika toka miisho ya dunia, na kukuita toka pembe zake, nikikuambia, Wewe Umutumishi wangu; nimekuchaguwa wala sikukutupa. Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe; usifadhaike kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu. Tazama wote waliona hasira juu yako watatahayarika na kufadhaika; watu washindanao nawe watakua si kitu, na kuangamia. Utawatafuta wala hutawaona wale wapiganao nawe; watakuwa si kitu; watakua kama kitu kisichokuwa, wale walio fanya vita juu yako. Kwa maana mimi, BWANA, mungu wako, nitakushika mkono wako wa kuume , nitakwambia; Usiogope, mimi nitakusaidia." 

Jikaze uyashinde mapito, baada ya hayo utafurahi na hutoyaona tena, Bwana ni mwaminifu kwa wenye haki! Huko peke yako katika shida hizo, Mungu yupamoja nawe! Endelea kwa maombi na Kumusifu Mungu kama vile Paulo na Sila gerezani waliendelea kumsifu Mungu ingawa walikua katika shida. Paulo alisema pia katika kitabu ya WARUMI 8:18 "Kwa maana nayahesabu mateso ya wakati huu wa sasa kuwa si kitu kama utukufu ule utakaofunuliwa kwetu." Ndo maana nimesema Fall inaweza kukuumiza lakini ukifikia Summer hutokumbuka balidi (mateso) tena. Vumilia upate ushindi maana upo! Yesu alisha maliza kutuonyesha ushindi huo kwa kazi kubwa alio ifanya pale gorigota! 

AMANI YA MUNGU IWE NANYI!
The Superlative Kaburungu "Seth Vyamungu" 

Friday, October 12, 2012

Fursa ya Methusela Nzisabira

Ndugu wadau huu ni kijana anaenda kwa Jina "Methusela Nzisabira" ndo majina yake kamili. Kijana huu ni mufanya miziki za nyimbo ya Injiri, anaishi apo Dallas, TX. 

Katika safari yangu ya kwanza kwenda Dallas, Texas kwa ajili ya mkutano wa Vijana (CAG Ministry Youth Conference) ulio fanyika mwezi wa 7 tarehe 7 na 8 mwaka wa 2012, na katika maandalizi ya mkutano huo, kijana huu alinisaidia kwa mambo mengi sana. Na cha zaidi na mushukuru kwasababu alinikabizia Van (gari) yake, kwa hizo siku ambazo nilikua naishi apo Dallas. Munajua ukiwa mgeni ni vigumu sana kuhusu usafiri na nirikua sina uwezo kabisa wa kukodisha (rent) gali, ila Kijana huu kajitolea ili niitumie gali (White Van) yake, namshukuru pia kwa Heshima alio nionyesha na ukaribisho wake kwa kunipokea kama mtumishi wa Mungu bila zalau wala nini, ingawa wote ni Vijana unakuta kuna maongezi furani yanamuchukiza Mungu, ila Bwana asifiwe maana kazisahau dhambi na makosa yetu. Namuombea balaka Kijana Huu Mungu amuzidishie Hekima na busara katika kazi zake zote na akumbuke kumuheshimu Mungu na kuendeya njia za Bwana kila kukichapo. 

Kwa kifupi ndungu wadau, Napenda kuwatangazia ya kwamba, kama unataka kufanya kazi yako nzuri ya audio production (kurikodi sauti), nakushauri umukabiziye kazi zako Kijana huu, maana alinionyesha uwezo wake, na katika Studio yake niliingia, nikaitembelea hata kulikodi nimerikodi nyimbo mbili ambazo nitaziweka katika album yangu ya pili. Katika miziki hiyo kijana amenisaidia kurikodi na kupiga vyombo kama Electronic Keyboard (piano), Gita (solo).  Yani hatakurikodia tu masauti, na katika mziki wa kweri nakuhakikishia kua ataweza na wewe utapenda kweli. 


Hii ni moja kati ya zile nyimbo mbili nimerikodi katika Studio yake. Mausauti ni mimi The Superlative mwenyewe, na vyombo: Base (mimi), Keyboard (mimi na Methsula, ila mimi nimecheza kasauti ambapo kanasikika kama Violin or whistle, mengine ni Methusela)  


 Hawa ni warembo katika kundi (Choir) lililotoka Abilene, TX kwenda Dallas, TX kurikodi ndani ya Studio hiyo la Methusela, inaitwa "GAP Studios -Glory Ambassadors Pro" Ivyo basi kaeni tayari Album hiyo inakaribia kuafikia endapo makandamizi yakimalikiza. 


Nafikiri mnamuona na yeye kwenye mtambo ya mziki akiwa na gita (amevaa rangi ya blue, In blue behind the guy in red) 


Kama kawa akiendelea. Kijana anaejiita "Dr. Pastor Eric" mtunzi (Owner and Operator) wa website ya www.africamusicproduction.com, uwo kwenye upande wa kushoto akikaa amejishangaza sijui kashangaa nini! hata na yeye alikuwepo akisikiliza makatandamizi ya kwaya hiyo. Na wanakwaya naona wakapa mapozi kidogo, ao sio. 

Basi nitajitaidi niwajurishe mkanda (CD) ikiondolewa ili nanyi mujipatie raha. Tafadhari tuwe tunasaidiana Jamani. Wenzetu wakifanya mambo, basi tununue ili tupate kuendelea mbele, na tuhakikisheni tumenunua Original Copy. 

Tuesday, October 9, 2012

Je ni kweli Maisha yanachanganya?

Sababu yakulinga, tumwo ndani ya Yesu, sikiliza tafandari usipuuzie. Naomba pia ukisoma apo chini uwezi ku Comment, ili umubaliki mwenzako atakae soma hii. Unaweza hata kuongeza maoni yako, utabalikiwa kwa maana utakua umewasaidia na kuwafurahisha wengi wanao sona Ujumbe kutoka blog yangu hii. Asanteni! Haya, tusome sasa, ...


Ndugu zangu katika Jina la Yesu, hua kuna swali Vijana wengi tunapendelea kuuliza ao kusema. Je Maisha yanachanganya? Vijana wengi wanadai yakwamba maisha yanawachanganya ndo maana wanaangaika uku na kule ili wapate maisha. Wengi hukimbilia katika usanii kuimba nyimbo za kisanii, na wengine hukimbilia katika sanaa (movies), wengine wanadhiriki hadi kufanya kazi mbili au tatu eti apate maisha bora, na hapo kanisani haudhurii. Unakuta na wengine wanaendea njia nyingi eti mladi wapate maisha. 

Nisikilizeni enyi wote vizazi vya Mungu, Maisha hayachanganyi ila sisi ndo tunayachanganya na kujichanganya wenyewe. Unakimbilia kuimba nyimbo za kisanii, unamsifu mwana mke ao mwana mme badala ya kumusifu Mungu. Na katika huduma hiyo, Vijana, nawatangazia yakwamba hakuna mafanikio hata siku moja. Ni hakiri gani kumsifu mwana mke ao mwana mme ambae ni mavumbi kama binadamu wengine? Kisha faida gani utakao itoa kutoka katika huduma hiyo ya kumusifu? malipo gani umepata kutoka kwake? Hamna, tena haitowai kutokea mwanadamu kurizisha moyo wako hata siku Moja. Pia mnajua yakwamba, "amelaaniwa amtegemeae mwanadamu" ndivyo munavyo Jiletea laana na mikosi katika huduma hizo, baadaye mnalalamika eti maisha yametuchanganya, tunajaribu kuyatafuta huku na kule. Maandiko katika kitabu cha mwanzo (Genesis 1:28-29) yanatwaambia yakwamba baada Mungu kuumba mbingu na Nchi akamwumba mwanadamu, alisema pale mstari wa 28, zaeni mujaze ulimwengu wote, nawapa kumiliki vyote vilivyomo ulimwenguni. Na hayaishii hapo tu, baada ya pigo kali wanadamu walio pata enzi zile za Nuhu, Bwana alimwambia Nuhu na kumwaidi vile vile kua hatoangamiza tena binadamu kwa maji, na akamwambia kua watamiliki wanyama na vyote vilivyomo ulimwenguni (Genesis 9: 1-3). na tukumbuke sote tulizaliwa baada ya hao. ] Kama Mungu alisema hivyo, waweza kusemaje yakwamba maisha yamekuchanganya? Mungu alie kuumba anazo sababu za kukuumba wewe pia anayo huduma yakutosha ili akutunze. Kama angeshindwa kukutunza hange kuumba, ungekua umefariki kama wale watoto wadogo wanao fariki wakiwa wachanga sana ao hata kuzaliwa hungezaliwa. Ila kwasababu ameona kua anao uwezo wa kukutunza ndo maana akakuacha ukakua Ila umekua na ukabadilika. Nilikupanda uwe muzabibubu mwema, umegeukaje kua mzabibu mwitu? Bwana kasema (Jeremiah 2:21)! Tukiendelea pia kusoma maandiko matakatifu katika kitabu cha Jeremiah 4:18 panasema yakwamba "Njia zako na matendo yako ndo yamesababishia hayo (magonjwa, mkosi, mapigo, shida, etc), huu ndo malipo ya uovu wako. Ni kweli ni uchungu tena yanafikia hata moyoni mwako)."Tukiendelea kidogo kwenye msitari wa 22, Bwana alisema: "Watoto wangu ni wa pumbavu, hawanijui wala hawajui njia zangu. Wana hekima ya kutenda maovu ila hekima ya kutenda mazuri hawana." Jiulize sasa mwenzangu, bado walalamika eti Maisha yanakuchanganya? Ebu tusilikilize maneno Yesu alio sema katika kitabu cha Yohana 8:12 akiwa anaongea na wafarisayo, akasema: "Mimi ni nuru ya ulimwengu, na yeyote atakae nifuata, hataona giza kamwe (Giza inahesabiwa kama Magonjwa, shida, majaribu, mikosi, uhalibifu, etc). Badala ya hayo, atairidhi Nuru ya uzima wa milele." Hii inatuhakikishia yakwamba kumfuata Yesu ni kupata maisha yario bora pasipo shida na majaribu. Sasa wewe kama mkristo, kwanini unakutana na hayo? Jamani tusimulaumie Shetani, maana sisi ndo tunamtafuta badala ya yeye kututafuta. Biblia inatuweka wazi jinsi ya kujilinda na ule mwovu. maandiko yanasema katika kitabu cha Jacob 4:7 neno linatwambia "Basi mtii Mungu.Mpingeni Shetani, naye atawakimbia." ukiendelea katika mstari wa 8, panasema: "Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia. Itakaseni mikono yenu enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu enyi wenye nia mbili. Tukisogea kidogo pale kwenye msitari wa 10 panasema: "Jidhirini mbele za Bwana, naye atawakuza." Tuseme nini sasa Vijana! Unataka turudie tena kuawambia amri za Mungu. Shetani ukimukaribisha atakuendesha kweli kweli, ubaya wake anakuendesha kama gali mbovu, hujui niwapi maisha yako yanaelekea, ndo maana unahangaika. Yesu ndo mwanzo na mwisho, pia ndo funguo ya maisha. Hakuna aliye kuja kwake akaadhirika wala kupata shida. Alituaidi yeye mwenyewe katika kitabu cha Yohana 10:27-30 Yesu akasema: "Kondoo wangu waisikia sauti yangu; nami huwajua, nao wanifuata. nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu atakae wapokonya (yani kuwatoa) katika mkono wangu. Baba yangu aliyenipa hao ni Mkuu kuliko wote; wala hakuna mtu awezaye kuwapokonya katika mkono wa baba yangu. Mimi na baba tu umoja." Kijana ao mtu yeyo unaye sikia maneno hayo, hivi unajiuliza nini ao unangoja nini kumpa Yesu maisha yako. Maisha hayatafutiwi katika hanasa za dunia, wala katika tamaa za myili yenu; amna kabisa, maisha ni kwa Yesu pekee, yupo tayari kukusaidia. Waweza kuniuliza; mimi sina Yesu wala mambo kama hayo, mbona naishi vizuri. Jibu: "Mambo yote ya dunia hii yatapia, ila neno lake Bwana ni uzima wa Milele" Ebwana we, hata Shetani anawasikia walio wake na kuwapa maisha ya mda kitambo tu, jiulize kwanini ameleta AntiKistro! Wewe unakaa apo eti unamwabudu Mungu, kumbe unamwabudu Shetani; hua na yeye maombi yetu anayasikia, kisha Antiskristo akifanya kazi eti Mungu kanijibu, tafadhari pima kua Jibu zote zimetoka kwa bwana (1John 4:1-6), wakristo kaeni macho. Kijana kama unavimba, vimba na Yesu; dunia hii siyakwako. Msichana kama unalinga, linga na Yesu; dunia hii siyakwako. Hata na sisi tunaweza kua wasanii tena kuazidi, ila yote tunayafanya kwa mapenzi ya Mungu. Usijivunie mali wala vipaji kaka na dada zangu, ila Jivunie Upendo na neema za Mungu tunazopewa Bure, Mungu kasema hayo katika kitabu cha Jeremiah 9:23. Ulimwengu tunapita, wote tutaozea kaburuni bali walio mfuata Yesu, hawata shududia kifo hata kidogo, maana kifo ni njia yetu yakwenda Mbinguni. tutamraki Bwana mawinguni. Malipo yote nihapa hapa duniani. Bwana ataturipia hapa duniani wema tulio ufanya, kisha taji ya uzima wa milele uko mbinguni. Kwenu nyiye mnao jifanya niwakristo kumbe amri za Bwana hazipo miongoni mwenu na ninyi wenye dhambi, malipo yenu ni hapahapa ulimwenguni kuteseka kisha baadaye kufia jehanamu kwenye moto wa milele. 

Nashangazwa sana na watoto (wasichana na wavulana) wa wachungaji. Ikiwa baba yako ni mchungaji, Mwarimu ao cheo furani kanisani, Jamani nyiye wanao mumebadilika sana. Bwana Yesu alisema pale katika kitabu cha Yohana 5:19 yakwamba hakuna chene mtoto anafanya pasipo kuiga babae, maana babae humufunza njia zote za haki." lakini vizazi vya leo badala ya kufuata tabia na nyendo za wazazi wenu (wachungaji, etc), nyie watoto wa wachungaji mumekua kelo kwa wazazi wenu. Wengi ni wasanii, wakahaba, kuvaa nguo za aibu, tabia chafu na mengi zaidi yakufanana na ndambi. Katika kitabu cha Mithali sura 30:11 panasema yakwamba: "Kuna vizazi havieshimu baba zao, na wengine hawabaliki mama zao." ndo mulivyo katika ulimwengu wa sasa. Neno la mungu linasema: "Waheshimu baba na mama ili uridhi Nchi Bwana aliye kupa, na amelaaniwa atakae tukana wazazi na kuwazalau ao kutokusikia ushauri wao." Jiangalie usije ukakute kumbe umelaaniwa zamani. Nuhu alimulaani mwanaye kwakunchungulia uchi wake, natena laana ilimushika kweli kweli (Genesis 9:18-27). Ndo maana utakua unafanya mambo na hufanikiwi, wazazi wako wanakuombea ili umurudilie Mungu, nakwambia wazi hutokwenda popote; ni mambo haya mawili: utakutana na shida kisha kifo, ao mwisho wake utamukumbuka Bwana."  Basi, kumbukeni mulipo anguka na mukatubu makosa yenu. Yesu yupo tayari kuwapokea na hatowaacha kamwe! 

Tembelea www.kaburungunews.blogspot.com na usipuuzie, pia usitazame sanamu tu ila soma maandiko na utabalikiwa. Mpeane Ujumbe huu kwa wenzenu wote mnao jua, mutabalikiwa na Mungu.