Friday, November 1, 2013
Saturday, August 3, 2013
Deborah Movie Trailer [Burundian Movies]by Aline Vyuka www.burundiango...
Movie Trailer ya filamu tulio shoot. Kueni hewani filamu inakaribia kuondolewa mda si mlefu
Safari yangu kwenda South Dakota katika kazi za ku shoot filamu na Album ya Aline Vyuka
Huyu ni Aline D. Vyuka, msichina anaye kuja na mvuto mkali sana katika nyimbo za Injili, Juzi Juzi nilikua katika mji, wa Sioux Falls, South Dakota anako ishi na tulikua katika shuguri za ku record videos za album yake. Pia tuli shoot movie, ilikua kazi sio mchezo; nilikua uko week mzima na siku 3. Apo kwenye pica alikua akiimba, nami nilikua busy na camera.
Apa napo alikua alikua akimaliza scene furani, basi akaona akapige mapozi mbali mbali
Hawa ni wasichana walio msadia kucheza katika nyimbo za alubamu yake, "kuanzia kushoto ni "Mapendo, Jerardine, Merida, Anna"
Basi apo ilikua Sunday baada ya ibada kanisani tukaendelea na shooting. Kabla baada ya kumaliza kazi tunachukua mapozi kido, mbele ni "Jerardine", nyuma kuanzia kushoto ni Diana (naye pia alikua mmoja wapo wa wachezaji katiak nyimbo za Aline Vyuka) wakufuata (in black suit) mwenye The superlative Kaburungu
Videos niko nazifanyia kazi mambo yatakua noma. kueni hewani, wadau siku zote na endeleeni kunitembelea katika blog yangu
Mana Ndagushima By Aline Vyuka [Official Video] www.burundiangospel.com
Moja wapo wa nyimbo za album yake, basi akapenda ku share na madau, edited by mwenye the Superlative kaburungu. nitakua nawatarifu kazi zangu kama vile nilivyo waaidi wadau wangu, nashukuru kwa ushirikiano wenu na support munao nipa
Wednesday, June 26, 2013
Hassan Assadunllah mmoja wa Burundian Movie Star Nchini Burundi
Kwenye uwanja wa Facebook nimefanikiwa kuongea na Kijana "Hassan Assadunllah" ajulikinae kwa jina la "MUGISHA", huu ni mmoja wa wasanii Nchini Burundi katika tasnia ya filamu. Filamu aliyo icheza iitwae "MUGISHA" ilio sababisha kijana huu kujulikana Nchini na Nchi za inje, katika maongezi naye kijana huu alisema kua kwa sasa amecheza filamu 6; 3 kwa kirundi, 2 kwa kirafansa, 1 kwa kiswahili.
Mugisha anasema kua bado yuko katika maendeleo ya filamu.
Basi ndugu wadau tasnia ya filamu Nchini iko inasonga mbele kama mnavyo ona, nitaendelea kuwapa story hadhisi endapo mukiendelea kuitembelea blog hii.
NIikajikuta kua napenda blog hii sana
Kwanza natangulia msamaha mkubwa sana kwa ndugu na wadau wote ambapo muko katika maeneo na mikowa mbalimbali. Nime wa miss sana. Katika kwenda kwangu, liniwaambia yakwamba nina blog mpya ambao ilikua www.kaburungu2013.blogspot.com ambapo ilikua kuwaakilisha kazi zangu za mwaka huu wa 2013, ila nimejikuta kua napenda sana blog hii. basi ndugu wadau nimerudia rasmi na twendelee na kazi.
Kama wengi munavyo kua munafuatia kazi zangu kutumia viwanja vijine vya website, kweli kazi naendelea kama kawaida, na kampuni yangu Afro Shemeza Stduios" imefanikisha kutengeneza video ya Methuselah mwezi wa pili mwaka huu wa 2013 (Febuary, 2013)
Subscribe to:
Posts (Atom)

